Gondulfi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gondulfi (kwa Kilatini: Gondulfus, Gundulphus, labda pia Bethulphus; karne ya 6 - karne ya 7) alikuwa askofu wa 22 wa jimbo la Tongeren-Maastricht, leo kati ya Ubelgiji na Uholanzi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads