Gudene
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gudene (pia: Gidina, Giddina, Guddenas, Guddentes, Guddina, Giddinus, Gaudentes; alifariki Karthago, leo nchini Tunisia, 27 Juni 203) alikuwa mwanamke Mkristo aliyeteswa kikatili kwa namna mbalimbali na hatimaye kuuawa kwa upanga kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Septimius Severus[1][2][3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads