Hatimiliki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hatimiliki (kutoka maneno ya Kiarabu; kwa Kiingereza: title deed, deed au zamani evidence[1]) ni hati yoyote inayothibitisha kuwa mtu ana haki juu ya kitu fulani kama mmiliki wake au kwa namna nyingine yoyote. Mara nyingi ni hati inayothibitisha haki juu ya sehemu ya ardhi au kiwanja.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads