Heimo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Heimo
Remove ads

Heimo (pia: Heimerad, Heimrad, Haimrad; Meßkirch, Baden, Ujerumani, 970 hivi - Burghasungen, 28 Juni 1019) alikuwa padri ambaye baada ya kufukuzwa monasterini aliishi bila makao maalumu kwa ajili ya Kristo, hadi alipokwenda upwekeni [1]. Mwenendo wake wa ajabuajabu ulimfanya adharauliwe na kudhulumiwa na wengi, lakini yeye hakupotewa na utulivu wake.

Thumb
Sanamu ya Mt. Heimo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 28 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads