Henri wa Kongo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Henri wa Kongo (pia: Henrique Kinu a Mvemba 1495 - 1531) alikuwa askofu wa kwanza kutoka Afrika kusini kwa ikweta kuanzia mwaka 1518 [1].

Mtoto wa Manikongo wa 6 wa Ufalme wa Kongo, Afonso I aliyejitahidi sana kufanya ufalme wote ufuate imani na maadili ya Kanisa Katoliki, alitumwa Coimbra (Ureno) kwa masomo [2]. Mwaka 1521 alirudi kwao na kuteuliwa gavana wa Mpangu, akifanya bidii katika uinjilishaji wa nchi hadi alipofariki dunia [3].

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads