Hilari wa Carcassonne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Hilari wa Carcassonne (alifariki karne ya 6) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wakati Wavisigoti walieneza Uario katika eneo hilo waliloliteka[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads