Hilduadi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Hilduadi (alifariki katika eneo la Ubelgiji wa leo, 816 hivi) alikuwa askofu na mwanzilishi wa monasteri ya Dikkelvenne [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Septemba [2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads