Hirohito wa Japani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hirohito wa Japani
Remove ads

Hirohito (29 Aprili 19017 Januari 1989) alikuwa mfalme mkuu wa 124 (Tenno) wa Japani. Alimrithi baba yake Yoshihito tarehe 25 Desemba 1926 na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwanaye Akihito.

Thumb
Mfalme Mkuu Hirohito, mwaka wa 1926

Ingawa alijulikana sana nje ya Japan kwa jina lake la Hirohito (裕仁?) kwa Kijapani, kwa sasa anatambulika zaidi kwa jina la Shōwa.[1]

Neno Shōwa linamaanisha mtu mkarimu; ni jina la nyakati za Kijapani zilizoambatana na watawala wa nchi hiyo walioitwa Matenno wa Japani .

Remove ads

Maisha yake

Hironito alizaliwa katika ikulu ya Tokyo (wakati wa utawala wa babu yake Meiji). Baba yake aliitwa Yoshinito ambaye jina la utawala lake aliitwa Taishō) na mama yake aliitwa Sadako ambaye jina lake la utawala aliitwa Teimei.

Mwanzoni mwa utawala wake, Japan tayari ilikuwa moja kati ya mataifa yenye nguvu duniani na ilikuwa nchi ya tisa kwa maendeleo ya uchumi duniani na moja kati ya nchi nne wanachama wa kudumu wa Shirikisho la Mataifa ambalo lilikuwa shirikisho tangulizi la ya Umoja wa Mataifa.[2]

Remove ads

Angalia pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads