Kenda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kenda ni Kiswahili asilia kwa namba 9. Kwa kawaida inaandikwa 9 lakini IX kwa namba za Kiroma na ٩ kwa zile za Kiarabu.

Thumb
Mabadiliko katika kuandika tisa.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 3 x 3.

Neno hili ni la asili ya Kibantu. Siku hizi neno "tisa" ambalo ni neno lenye asili ya Kiarabu hutumiwa zaidi kutaja namba 9, pamoja na tisini (tisa mara kumi).

Kamusi za mwanzo na katikati ya karne ya 20 kama M-J SSE zinasema ya kwamba "kenda" iliwahi kutumiwa sawa na "tisa".

Siku hizi matumizi yake imepungua sana.

Mfano wa matumizi yake ni katika jina Mijikenda linalotaja kundi la makabila au koo 9 za Kenya.

Remove ads

Marejeo

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kenda kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads