Huneriki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Huneriki
Remove ads

Huneriki (alifariki 23 Desemba 484) alikuwa mtoto wa kwanza wa Genseriki, mfalme wa Wavandali na Waalani kwa karibu miaka 50 (428477) ambaye aliinua makabila haya madogo kuwa ufalme imara katika Afrika Kaskazini uliotikisa Dola la Roma Magharibi katika karne ya 5 hata kuteka jiji hilo kwa muda mnamo Juni 455.

Thumb
Sarafu ya Huneriki.

Huneriki hakuendeleza mipango mikubwa ya baba yake lakini, baada ya muda[1][2], alizidi kudhulumu kikatili Wakatoliki wa Afrika Kaskazini[3] hivi kwamba Waarabu Waislamu walipoiteka Ukristo ulikoma haraka.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads