Ibrahim El-Gohary

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ibrahim El-Gohary (alifariki 31 Mei 1795) alikuwa Waziri Mkuu wa Misri katika karne ya 18. Alipendwa sana na Wakopti wenzake na wananchi kwa jumla[1].

Alijitahidi sana kujenga na kukarabati makanisa na monasteri[2].

Anaheshimiwa na Wakopti kama mtakatifu.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads