Igunga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Igunga
Remove ads

Igunga ni kata iliyo makao makuu ya Wilaya ya Igunga katika Mkoa wa Tabora, Tanzania, yenye postikodi namba 45601.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads
Thumb
Ramani ya Wilaya ya Igunga katika Mkoa wa Tabora, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa 82,768 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 51,172 waishio humo.[2]

Igunga ni kati ya maeneo ambako imani ya ushirikina inaleta matatizo ya mauaji ya kiholela ya watu wanaoshukiwa kuwa wachawi.

Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads