Ilidi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ilidi (kwa Kifaransa: Alyre; alifariki 384 hivi) alikuwa askofu wa 4 wa Clermont-Ferrand [1].

Kaisari wa Dola la Roma Magharibi alimuita Trier ili kutoa pepo katika binti yake; wakati wa kurudi alifariki njiani.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads