Iskirioni na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Iskirioni na wenzake watano (walifia dini Asiut, Misri, 249 hivi) wakati wa dhuluma ya kaisari Decius .

Mwenyewe alikuwa jemadari, wenzake askari wa kawaida chini yake. Waliuawa kwa namna mbalimbali kadiri ya amri ya mtawala Ariani kwa sababu ya imani yao ya Kikristo[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 1 Juni[2][3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads