Jacob Stephen
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jacob Stephen[1] anayejulikana kwa jina lake la kisanii kama JB pia Bonge la bwana ni msanii wa maigizo, mtayarishaji wa filamu na mwongozaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Anajulikana sana kwa uhusika wake katika filamu ya Dj Ben[2]akishirikiana na Wema Sepetu pamoja na Irene Uwoya[3].
Filmografia
Hizi ni baadhi ya filamu ambazo muigizaji Jacob Steohen ameshiriki[4]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads