Jacob Stephen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jacob Stephen[1] anayejulikana kwa jina lake la kisanii kama JB pia Bonge la bwana ni msanii wa maigizo, mtayarishaji wa filamu na mwongozaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Anajulikana sana kwa uhusika wake katika filamu ya Dj Ben[2]akishirikiana na Wema Sepetu pamoja na Irene Uwoya[3].

Filmografia

Hizi ni baadhi ya filamu ambazo muigizaji Jacob Steohen ameshiriki[4]

Maelezo zaidi Mwaka, Filamu ...

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads