Jenerali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jenerali
Remove ads
Remove ads

Jenerali ni cheo kikuu cha kijeshi katika nchi nyingi za dunia. Jenerali huwa kiongozi wa ngazi ya juu katika jeshi.

Thumb
Jenerali wa nyota 4 George S. Patton mnamo 1945, mwishoni mwa Vita vya Kidunia vya pili

Idadi ya majenerali si kubwa. Kazi yao ni kuongoza na kupanga kazi ya jeshi. Kwa kawaida hawashiriki wenyewe katika mapigano.

Neno limeingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiingereza. Asili yake ni Kilatini "generalis" yenye maana ya "kwa ujumla".

Maelezo zaidi Vyeo vya kijeshi - Tanzania ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads