Kapteni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kapteni
Remove ads
Remove ads

Kapteni ni cheo cha kijeshi katika nchi nyingi za dunia. Kapteni huwa ni kiongozi wa kikosi cha askari 100-200.

Thumb
Alama kwenye sare ya kapteni katika jeshi la Tanzania

Madaraka ya kapteni ni kuongoza kikosi chake akisaidiwa na maluteni wake. Kwa kawaida hatashiriki katika mipango ya vita bali wajibu wake ni kutekeleza maagizo ya wakubwa wake.

Katika jeshi la wanamaji kapteni (captain) hutokea kama cheo cha kiongozi wa manowari kwa hiyo kuna uwezekano ya kwamba kapteni huyu ana madaraka zaidi kuliko kapteni kwenye nchi kavu.

Neno limeingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiingereza. Asili ya cheo ni neno la Kilatini "caput" linalomaanisha "kichwa, mkubwa, kiongozi wa kundi".



Maelezo zaidi Vyeo vya kijeshi - Tanzania ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads