Jerio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jerio
Remove ads

Jerio (pia: Gérard, Géri, Gerius, Gerio, Girio, Roger; Lunel, leo nchini Ufaransa, 1275 hivi - Potenza Picena, Macerata, Italia, 1298) alikuwa mkaapweke kutoka ukoo wa makabaila ambaye alifariki wakati wa kutaka kuhiji Yerusalemu [1].

Thumb
Mt. Jerio katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Benedikto XIV alithibitisha heshima hiyo tarehe 1 Agosti 1742.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Mei [2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads