Jiji la Quebec

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jiji la Quebec
Remove ads

Quebec (kwa Kiingereza: Quebec City; kwa Kifaransa: Ville de Québec) ni mji mkuu na mji wa pili katika mkoa wa Quebec.

Thumb
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Sehemu ya Mji wa Quebec

Mwaka 2021 ulikuwa na wakazi 549,459, ila pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 839,311. Eneo lake ni km² 454.26. Mji upo m 5 juu ya usawa wa bahari. Mji ulianzishwa mwaka 1608.

Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jiji la Quebec kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads