Mtaa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mtaa (kwa Kiingereza: neighbourhood [1]) ni sehemu ya jiji, mji au kijiji.

Mahusiano ndani yake ni ya jirani zaidi, hasa kama wakazi wake wanafanana kwa asili, dini, hali ya uchumi n.k.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads