Mtaa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mtaa
Remove ads

Mtaa (kwa Kiingereza: neighbourhood [1]) ni sehemu ya jiji, mji au kijiji.

Thumb
Miongoni mwa Mitaa ya Dar es Salaam
Thumb
Miongoni mwa Mitaa ya Zanzibar

Mahusiano ndani yake ni ya jirani zaidi, hasa kama wakazi wake wanafanana kwa asili, dini, hali ya uchumi n.k.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads