Jimbojina
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jimbojina (kwa Kilatini: "diocesis titularis") ni dayosisi ya zamani ya Kanisa Katoliki ambayo kwa sasa imefutwa isiwe na eneo wala watu, lakini kumbukumbu yake inatunzwa hai kwa kuichagulia askofu asiye mkuu wa jimbo lolote[1]. Huyo haishi huko wala hana mamlaka yoyote juu ya eneo la zamani la jimbo hilo[2].
Utaratibu huo ulianza mwaka 1514. Mara chache unafuatwa na Waorthodoksi pia[3].
Annuario Pontificio inatoa orodha ya majimbojina yote ya Kanisa Katoliki[4].
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads