Mkuu wa jimbo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkuu wa jimbo
Remove ads

Mkuu wa jimbo (kwa Kilatini: Ordinarius loci) katika Kanisa Katoliki[1] ni mkleri (askofu au padri) ambaye ana mamlaka ya kisheria ya kudumu[2] juu ya jimbo (dayosisi au lingine).

Thumb
Papa Pius XI katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa kuu la Honolulu, Hawaii, kama mkuu wa Kanisa la Roma na la Kanisa Katoliki lote miaka 1922 - 1939, akiwa pamoja na askofu Stephen Alencastre, makamu wake kwa Sandwich Islands.

Mamlaka hiyo anaweza kuwa nayo kutokana na cheo chake mwenyewe (hasa Askofu wa jimbo) ama kama makamu wa mwenye cheo (hasa makamu wa askofu)[3].

Utaratibu kama huo unafuatwa na Waanglikana[4]. Waorthodoksi wanatumia msamiati tofauti[5].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads