John Maynard Keynes

From Wikipedia, the free encyclopedia

John Maynard Keynes
Remove ads

John Maynard Keynes (5 Juni 1883 - 21 Aprili 1946) alikuwa mtaalamu wa hisabati na uchumi kutoka nchini Uingereza.

Thumb
John Maynard Keynes

Yeye ni maarufu kwa mafundisho yake juu ya uchumi yaliyo na athira kubwa katika siasa ya kiuchumi katika nchi nyingi.

Katika nadharia yake aliandika ya kwamba uchumi wa soko huria peke yake hauelekei kumpa kila mtu kazi. Hapa alisema ya kwamba ni wajibu wa serikali kuingilia kati na kusukuma uchumi kwa kuingiza pesa katika mzunguko wa kiuchumi.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads