Johnny Cash

From Wikipedia, the free encyclopedia

Johnny Cash
Remove ads

Johnny Cash (jina la kuzaliwa: J. R. Cash; 26 Februari 193212 Septemba 2003) alikuwa mwimbaji-mtunzi wa nyimbo kutoka nchini Marekani. Huyu anatazamiwa kama miongoni wa wanamuziki wenye athira kubwa katika medani ya muziki kwa muda wote. Hasa alifanya muziki wa country, nyimbo zake zikipigwa husika kuchanganya aina nyingi za muziki wa kama vile rockabilly na rock and roll (ususani wakati anaaza shughuli hizi), vilevile blues, folk na injili..

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads