Juma Nature

mwanamuziki wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Juma Nature
Remove ads

Juma Kassim Ally, anayejulikana zaidi kama Juma Nature au Sir Nature (alizaliwa Dar es Salaam mwaka 1980), ni mwanamuziki wa aina ya Bongo Flava na Hip Hop kutoka Tanzania. Ni mwanzilishi wa kundi maarufu la TMK Wanaume Family.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Juma Nature ni msanii mbunifu ambaye si mtunzi wa mashairi tu, bali pia ana kipaji cha kipekee kinachochangiwa na sauti yake nzuri ya uimbaji. Moja ya sababu zinazoufanya muziki wake kupendwa sana Afrika Mashariki ni mashairi yake yenye maana na ujumbe wa kina. Miongoni mwa nyimbo zake zilizompa heshima kubwa kitaifa ni Umoja wa Tanzania, wimbo uliolenga kupatanisha mgogoro wa kisiasa kati ya vyama vya CCM na CUF. Mbali na wimbo huo, Nature ametoa nyimbo nyingi zenye mafunzo na ujumbe wa kizalendo kwa Taifa. [1][2]

Remove ads

Albamu alizotoa

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads