Juma Othman Hija

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Juma Othman Hija (amezaliwa 9 Julai 1956) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tumbatu kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads