Justiniani II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Justiniani II
Remove ads

Kaisari Justiniani II (668/669 - 4 Novemba 711) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 685 hadi 695, tena kutoka 705 hadi 711, alipouawa kwa kiburi na ukatili wake.

Thumb
Justiniani II katika mozaiki huko Ravenna, Italia.

Alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika hadhi yake ya zamani.

Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kuendesha mtaguso wa tano-sita katika ikulu yake.

Tangu kale Waorthodoksi wanamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[1][2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads