Juventus F.C.

From Wikipedia, the free encyclopedia

Juventus F.C.
Remove ads

Juventus Football Club (kutoka Kilatini: Juventūs, "Ujana"; matamshi ya Kiitalia: [juvɛntus]) ni klabu ya soka iliyopo katika ligi kuu ya Italia huko Torino, Piemonte. Juventus ilianzishwa mnamo mwaka 1897 na kikundi cha wanafunzi wa Torinese. Imeshinda mara 35 ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A. Klabu hii imecheza mechi za nyumbani kwa misingi tofauti karibu na jiji lake, na kitu kikubwa kinachomilikiwa na klabu hii ni uwanja wa Allianz.

Thumb
Nembo ya Juventus F.C.
Remove ads

Viungo vya nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads