Kaka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaka
Remove ads

Kaka ni jina ambalo linatumika kwa ndugu wa jinsia ya kiume, hasa akimzidi umri mwingine ambaye ni mdogo wake, lakini pengine hata kwa mdogo ikiwa msemaji ni ndugu wa kike anayetaka kuonyesha heshima kwa jinsia ambayo inapewa haki zaidi katika masuala mbalimbali (urithi, ndoa n.k.) kadiri ya utamaduni husika.

Thumb
Mtoto mdogo na kaka yake huko Haiti.

Mara nyingi mtoto wa kiume wa kwanza ndiye mwenye nafasi ya pekee katika familia, k.mf. katika Biblia.

Kwa maana nyingine kaka ni ganda tupu la nafaka, yai au kibiriti.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads