Kaka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaka ni jina ambalo linatumika kwa ndugu wa jinsia ya kiume, hasa akimzidi umri mwingine ambaye ni mdogo wake, lakini pengine hata kwa mdogo ikiwa msemaji ni ndugu wa kike anayetaka kuonyesha heshima kwa jinsia ambayo inapewa haki zaidi katika masuala mbalimbali (urithi, ndoa n.k.) kadiri ya utamaduni husika.

Mara nyingi mtoto wa kiume wa kwanza ndiye mwenye nafasi ya pekee katika familia, k.mf. katika Biblia.
Kwa maana nyingine kaka ni ganda tupu la nafaka, yai au kibiriti.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads