Kakamega

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kakamega
Remove ads

Kakamega ni mji ulio makao makuu ya kaunti ya Kakamega nchini Kenya.

Thumb
Kakamega, Kenya
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Wakazi walikuwa 91,768 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1]. Wenyeji ni hasa Waluhya.

Kakamega iko takriban kilomita 100 kaskazini kwa Kisumu.

Tangu mwaka 2006 chuo cha ufundi Kakamega kilipandishwa cheo kuwa Chuo Kikuu cha Malinde Musiro (Masinde Muliro University of Science and Technology).


Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads