Waluhya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Waluhya (pia: Abaluhya au Luyia) ni kabila kubwa la pili katika Kenya (16% za wakazi wote) wakikalia hasa upande wa Magharibi. Wako pia Uganda na Tanzania. Jumla yao inakadiriwa kuwa milioni 5.3.

Katika Kenya kuna koo 18, Uganda koo 4 na Tanzania ukoo mmoja wa Kiluhya. Koo kubwa zaidi ni Wabukusu, Wamaragoli, Wawanga, Wanyore, Waidakho, Wakisa, Waisukha, Watiriki, Wakabras, Wagisu na Wasaamia.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads