Kalimeri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kalimeri
Remove ads

Kalimeri (alifariki 280) alikuwa askofu wa nne wa Milano, Italia Kaskazini kuanzia mwaka 270 hadi kifo chake[1].

Thumb
Mt. Kalimeri katika mchoro wa ukutani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads