Kaliningrad

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaliningrad
Remove ads

Kaliningrad (Kirusi: Калининград) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 430.003. Hapa iko makao makuu ya mkoa wa Kaliningrad Oblast.

Thumb
Kaliningrad

Hadi 1945 Kaliningrad ilikuwa mji wa Kijerumani uliojulikana kama Königsberg. 1945 kwenye mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia wakazi Wajerumani walikimbia au walifukuzwa na wakazi wapya walipelekwa hapa kutoka mikoa mengine ya Urusi.

2010 mji ulikuwa na wakazi 431,902.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kaliningrad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads