Kameliano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kameliano (kwa Kifaransa: Camélien; karne ya 5 - Troyes, leo nchini Ufaransa, 536 hivi) alikuwa askofu wa 9 wa mji huo kuanzia mwaka 479, baada ya mlezi wake Lupo wa Troyes [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads