Karpati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Karpati
Remove ads

Karpati au Milima ya Karpati ni safu ya milima yenye urefu wa km 1,000 katika Ulaya ya Kati na ya Mashariki, ya pili barani baada ya Milima ya Skandinavia, (km 1,700).

Thumb
Ramani ya Karpati.

Safu hiyo ina umbo la upinde unaoanzia Ucheki (3%) kupita Slovakia (17%), Polandi (10%), Hungaria (4%) na Ukraine (11%), hadi Romania (51%). [1][2][3][4] Milima mirefu zaidi inaitwa Tatra, mpakani kwa Slovakia na Polandi, ambapo vilele vinazidi mita 2,600 juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Milima nchini Romania
Thumb
Picha kutoka Sanok, Polandi
Thumb
Kežmarok, Slovakia
Thumb
Milima ya Tatra huko Zakopane, Polandi
Thumb
Wahutsul, walioishi kwenye Karpati, 1872 hivi.
Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads