Kashashi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kashashi ni kata ya Wilaya ya Siha katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania, yenye msimbo wa posta 25402.
Kata hiyo inaundwa na vijiji sita: Kirisha, Kyengia, Manio, Lokiri, Kashashi na Naweru.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 5,573 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,694 [2] walioishi humo.
Kashashi ina shule za msingi Kirisha, Suumu, Kyengia, Kittahemwa, Naweru, Lokiri. Pia ina shule ya sekondari moja inayojulikana kwa jina la Suumu Sekondari.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads