Kastrisiani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kastrisiani
Remove ads

Kastrisiani (alifariki karne ya 3) alikuwa askofu wa tatu wa Milano, Italia Kaskazini katikati ya karne ya 3[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Kastrisiani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads