Kentigerno

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kentigerno
Remove ads

Kentigerno (pia: Cyndeyrn, Mungo, Cantigernus na Kentigern Garthwys; Fife, 518Glasgow, 13 Januari 614) alikuwa askofu mmisionari na abati huko Glasgow, Uskoti, ambaye inasemekana alianzisha jumuia kubwa ya kimonaki kwa kufuata mfano wa Kanisa mama la Yerusalemu [1].

Thumb
Mt. Kentigerno.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads