Ketura

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ketura
Remove ads

Ketura (kwa Kiebrania: קְטוּרָה, Qəṭūrā, yaani labda Uvumba[1]) alikuwa mke au suria mwingine ya Abrahamu aliyemzalia watoto sita wa kiume: Zimrani, Jokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua kadiri ya Mwa 25:1-4 na 1 Nya 1:32 [2]. Habari zake zinasimuliwa kidogo tu kabla ya zile za kifo cha Abrahamu.

Thumb
Familia ya Abrahamu ilivyochorwa katika Haggadah iliyochapishwa Venezia mwaka 1630ː kulia Ketura na wanae sita, kushoto Hagar na Ishmaeli, katikati Sara na Isaka.
Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads