Sara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sara
Remove ads

Sara (kwa Kiebrania שָׂרָה, Śārā, awali Sarai) katika Biblia anajulikana kama mke tasa wa Abrahamu ambaye kwa imani katika ukongwe wake alijaliwa kumzaa Isaka, baba wa Israeli, taifa teule la Mungu. Habari hizo zinapatikana hasa katika kitabu cha Mwanzo.

Thumb
Abrahamu akimshauri Sara (18961902 hivi kadiri ya James Tissot).
Thumb
Sara (kulia) akisikiliza maongezi ya Abrahamu na wageni wake (malaika watatu waliomuahidia mtoto wa kiume).
Thumb
Kaburi la Sara, 1911.

Jina lake linamaanisha mwanamke wa ukoo bora.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Agosti.

Remove ads

Katika Agano Jipya

Waraka wa kwanza wa Petro unamsifu Sara kwa kumtii mumewe[1]

Waraka kwa Waebrania unamsifu kwa imani yake.[2]

Mtume Paulo anamtaja katika nyaraka zake kwa Wagalatia[3] na kwa Warumi[4] katika kueleza tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads