Sara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sara (kwa Kiebrania שָׂרָה, Śārā, awali Sarai) katika Biblia anajulikana kama mke tasa wa Abrahamu ambaye kwa imani katika ukongwe wake alijaliwa kumzaa Isaka, baba wa Israeli, taifa teule la Mungu. Habari hizo zinapatikana hasa katika kitabu cha Mwanzo.



Jina lake linamaanisha mwanamke wa ukoo bora.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Remove ads
Katika Agano Jipya
Waraka wa kwanza wa Petro unamsifu Sara kwa kumtii mumewe[1]
Waraka kwa Waebrania unamsifu kwa imani yake.[2]
Mtume Paulo anamtaja katika nyaraka zake kwa Wagalatia[3] na kwa Warumi[4] katika kueleza tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads