Kijerumaniki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Lugha za Kijerumaniki ni kikundi cha lugha zenye asili ya Ulaya ya Kaskazini. Lugha za Kijerumaniki zenye wasemaji wengi ni Kiingereza (milioni 380) na Kijerumani (milioni 120). Lugha nyingine za Kijerumaniki ni lugha za Skandinavia, halafu Kiholanzi na Kiafrikana wa Afrika Kusini. [1]

Historia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads