Kilimatinde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kilimatinde ni makao makuu ya tarafa mojawapo ya Wilaya ya Manyoni katika Mkoa wa Singida, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata yenye jina hilo ilikuwa na wakazi wapatao 5,663 waishio humo. [1]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads