Kinara cha taa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kinara cha taa
Remove ads

Kinara (kwa Kiing. candelabra) ni kifaa cha kusimamishia mishumaa ndani yake ili itumike kama taa [1]. Huwa na idadi ya matawi ambayo kila moja linabeba mshumaa mmoja. Siku hizi kuna pia vinara vyenye balbu ilhali umbo la kinara huchaguliwa kama pambo la nyumba.

Thumb
Kinara cha matawi matano
Thumb
Kinara cha umeme

Katika historia kulikuwa na vinara ambavyo mafuta badala ya mishumaa yanawaka. Kinara cha aina hiyo ni menorah ya Kiyahudi yenye matawi 7.

Vinara hujulikana kutoka tamaduni mbalimbali ya kale[2].

Jina la Kiswahili limetokana na mnara likiwa na maana ya "mnara mdogo".

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads