Kinega

Ndege wadogo wa jenasi Riparia, familia Hirundinidae From Wikipedia, the free encyclopedia

Kinega
Remove ads

Vinega ni ndege wa jenasi Riparia katika familia Hirundinidae. Wanafanana na mbayuwayu lakini wana rangi ya mchanga na nyeupe. Mwenendo wao ni sawa na ule wa mbayuwayu. Hulichimba tundu lao katika ukingo au chungu ya mchanga. Jike huyataga mayai 2-5.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi ya Asia

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads