Mbayuwayu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbayuwayu
Remove ads

Mbayuwayu au vijumbamshale ni ndege wa familia Hirundinidae. Spishi nyingine zinaitwa kinega au kizelele. Wanafanana na teleka lakini hawa wamo katika oda yao yenyewe Apodiformes. Mbayuwayu wana miguu mifupi kama teleka lakini mabawa yao ni mafupi zaidi na spishi nyingi zina rangi kama nyekundu, buluu na/au zambarau. Hutua mara kwa mara. Hukamata wadudu wakiruka angani.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Spishi kadhaa huyataga mayai yao ndani ya mashimo asilia au matundu yaliyoachwa na vigong'ota. Spishi nyingi nyingine hulichimba tundu lao katika maada isiyo gumu k.m. ukingo wa mto. Spishi za jenasi Hirundo, Ptyonoprogne, Cecropis, Petrochelidon na Delichon hulijenga tundu lao la matope kupambana na ukuta wa jabali au jengo kwa kawaida karibu na sehemu inayochomoza kama paa la jengo. Jike huyataga mayai 2-5.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads