Kipapiamentu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kipapiamentu (kwa Kiingerezaː Papiamento) ni lugha ya visiwa kadhaa vya Karibi (hasa Aruba, Bonaire na Curaçao) inayotumiwa na watu 341,300[1].

Ni krioli iliyotokana na Kireno (na Kihispania) na inafanana na krioli ya Kabo Verde na Guinea-Bissau, hivi kwamba wataalamu wengi wanadhani ilizaliwa katika pwani za Afrika Magharibi[2][3].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads