Kipapiamentu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kipapiamentu (kwa Kiingerezaː Papiamento) ni lugha ya visiwa kadhaa vya Karibi (hasa Aruba, Bonaire na Curaçao) inayotumiwa na watu 341,300[1].
Ni krioli iliyotokana na Kireno (na Kihispania) na inafanana na krioli ya Kabo Verde na Guinea-Bissau, hivi kwamba wataalamu wengi wanadhani ilizaliwa katika pwani za Afrika Magharibi[2][3].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads