Kiseyeye
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kiseyeye (pia: hijabu; kwa Kiingereza scurvy) ni ugonjwa unaosababishwa na uhaba wa vitamini C mwilini. Dalili zake ni pamoja na kutokea kwa madoa kwenye ngozi. Meno yanaanza kuchezacheza na kupotea. Watu wanaweza kutokwa na damu mdomoni na puani. Viungo vya mwili huuma. Mgonjwa atakuwa dhaifu.
Zamani kiseyeye kilikuwa ugonjwa hasa wa mabaharia waliokaa muda mrefu kwenye maji bila kula matunda au chanzo kingine cha vitamini C. Kabla ya kugundua kwamba akiba ya limau ni dawa njema mabaharia wengi walikufa kutokana na kiseyeye[1].
Remove ads
Picha za dalili za kiseyeye
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads