Kisiwa cha Bulingugwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kisiwa cha Bulingugwe (pia: Bulinguge, Bulingugu) ni kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati, Wilaya ya Kampala).
Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads