Kisiwa cha Yuweh
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kisiwa cha Yuweh ni kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati).
Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa, kilometa 3 kutoka kisiwa cha Buvuma.
Eneo lake ni kilometa mraba 2.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads