Kiunga (Lamu)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kiunga ni kata ya kaunti ya Lamu, eneo bunge la Lamu Mashariki, mashariki mwa Kenya[1].
Historia
Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kaskazini ya Kenya kwenye Bahari ya Hindi.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads